Latest Updates

HII NI LAANA...!!! PICHA ZA UCHI ZA MWANAFUNZI MWINGINE WA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA ZANASWA



Hivi karibuni Mwanafunzi anayejulikana kwa jina la JACKY anayesoma Chuo cha Uhasibu - ARUSHA  amevuliwa nguo hadharani baada ya picha zake  (hapo juu ) kusambazwa kwenye mitandao mbalimbali na mpenzi wake baada ya wivu uliompata kaka huyo. Mwanahabari wetu amezinyaka hizi picha na habari toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa wapenzi  hao  na kunyetisha kuwa  Kaka huyo alifanya hivyo baada ya kugundua kuwa mpenzi wake JACKY sio muaminifu na anatoa penzi kwa mtu mwingine.






EVER MADE HER SQUIRT??HERE'S HOW TO...MUST READ.

EVER MADE HER SQUIRT??HERE'S HOW TO...MUST READ.


Alright, enough with theories and anatomy lessons. Here’s where you’ll learn how to make the magic happen!

First Things First


Before you get started, let’s take a look at a few things to greatly increase your chances of giving her a squirting orgasm. Some of these might sound like common sense, but squirting orgasms are exciting stuff so it’s easy to forget some of these important preparations:

1. Know your stuff. Before you go hunting the G-spot, it only makes sense to know where it is and how it works. Since you’re reading this site you’re already way ahead of most people. Just make sure you’ve read The G-spot page and know the location and anatomy.


2. Have the right attitude. Putting pressure on her to have a squirting orgasm is the surefire way to make sure she doesn’t. So enjoy the ride no matter what, have a sense of humor, don’t be goal oriented, and just basically be cool. She’ll dig you for it and it’ll greatly improve your chances of giving her a crazy, G-spot orgasm.

3. Keep it clean. Not the sex, silly! That should be as dirty as you want. We’re talking about your hands and fingers. Nothing will end the fun faster then catching her sensitive bits with a stray fingernail. Make sure your nails are clipped short, and your hands are squeaky clean.

4. Encourage communication.Aint not talking about a Dr. Phil session here. But it’s extremely important that she knows that she can tell you what she likes. Many women don’t speak up because they are either too shy or afraid of hurting your feelings. Ensure that doesn’t happen by letting her know up front that you encourage feedback.

5. Be aware of the mess. We don’t recommend laying down your expensive silk sheets for this project. You might want to have a few towels handy as well.

6. Have lubrication handy. Even if she’s producing natural lubrication it never hurts to have some handy just in case. Purchase individual lubrication packets if you’re too embarrassed to have a half-empty bottle of lube around.

Set the Mood





Women are complicated (yet wonderful) creatures with constantly changing moods, hormones, and emotions. It can be hard for her to have a G-spot orgasm (or any other orgasm for that matter) if she’s distracted with the worries of the day or just generally not relaxed and in the mood. Here are a few things that can help.



Atmosphere


There’s no need to get cliché, but low lighting, some soft music, and a comfortable, relaxed atmosphere go a long way towards getting the G-spot party started. Also, and we’re by no means suggesting that you both get sloppy drunk, but it’s a proven fact that a bit of alcohol can loosen her up. A long bath with a glass (or two) of her favorite wine can speed up the relaxation process drastically.

Get Her Aroused


Note: Foreplay is extremely important for a squirting orgasm. The G-spot won’t even be enlarged and ready for stimulation if she’s not thoroughly aroused.

Start with a sensual massage with lots of oil. This will relax her, get her blood flowing, and help to build intimacy. Massage her entire body for a half an hour or so. Try to stay away from her hot spots if you can (breasts and butt are fine).

She should be getting turned on by now. Amp it up by deep kissing, nibbling her kneck, or whatever she really enjoys. Go ahead and stimulate her clitoris with your fingers or mouth until she’s bucking her hips and begging for you inside of her.

Ready…Set…


Ok she’s hot, bothered, and begging for it? Time for the main event!

Firstly, find a comfortable position for both of you. Her lying on her back with her knees bent usually works quite well. You can kneel in between or knees, or sit on either side of her. Make sure you’re both comfortable because you might be staying in this position for a while.

Stimulate the G-spot


Ok, here we go. Below are some of the most effective methods to find and stimulate the G-spot. Keep in mind that these are tried and true. But don’t be afraid to experiment and have some fun!

Method 1: “Come” Hither



First, we’ll start with the most basic technique for finding and stimulating her G-spot.

1. With your palm facing up, slowly insert one or two fingers into her vagina about one-third of the way in (or to the second knuckle). 
2. You should feel a spot on the front wall of her vagina that is lumpier, rougher, or more ridged than the surrounding area. 
3. Start with a gentle “come hither” motion and slowly increase the pressure and speed as the G-spot swells. 
4. Find the location and pressure that she likes the most and give her more of it!

Note: When you first start stimulating the G-spot, she might feel slightly uncomfortable or have the urge to urinate. This is a fairly common occurrence, but should soon fade away and be replaced with increasing pleasure.

Method 2: Running Man


If you’re still experimenting with pressure and motion, you may want to try the “running man” method. It’s very much like the first method above, except instead of moving both fingers together you move them separately in a running motion. This doubles the pace of stimulation and also hits both sides of the G-spot. Just keep the pressure firm and the motion controlled…you certainly don’t want her to feel like you’re just wiggling fingers randomly.

Method 3: Window Washer


Run your fingers side to side, like a window washer, over the body of the G-spot. You should be able to notice how the G-spot dips on each side and creates a something like a gutter between the body of the G-spot and the vaginal wall. She may really enjoy this method of stimulation.

Method 4: Hard & Fast



This might sound hilarious but sometimes (depending on how much pressure she likes) your wrists and fingers can actually get tired from stimulating her G-spot. What can we say? Some women like it fast and hard.

But don’t worry if your gal is one of these. We have the perfect technique to ensure that you don’t wimp out.

Simply put your two middle fingers together and bend them in to your palm like you are about to do the “heavy metal horns”. Instead of bringing your thumb in, leave it pointed out and insert just those two fingers with the rest pointing down. This allows you to use your whole arm and shoulder to help move your fingers, all while keeping them perfectly aligned on her G-spot.

Orgasm Time


Initially, it may take more than 30 minutes of stimulation in order for her to have a G-spot orgasm but it’s worth every second.


When she does have one, trust us you’ll know. Her vagina will contract violently, so violently, in fact, that it may feel like she’s trying to push your fingers out. Also, just like a good clitoral orgasm, a G-spot orgasm will cause her to pant and moan loudly. Unlike a clitoral orgasm however, A G-spot orgasm is much more likely to lead to multiple orgasms.

And, of course, a G-spot orgasm may make her squirt ejaculation all over everything. So bring a raincoat!

Go With It


We mentioned earlier that you should gently work through any initial discomfort she may have. But be sure to consider her feelings and reactions carefully the entire time. Does she want firmer pressure? A little lower? A little faster?

Also, keep in mind that if she doesn’t normally have G-spot orgasms she may not have one on the first try. But if that’s the case, don’t fret. Becoming focused on a sexual “goal” will put unnecessary pressure on her and make it almost impossible for her to have any sort of orgasm.

But with a little knowledge, some patience, and a lot of practice, you’ll be able to consistently give her the most remarkable, mind-blowing orgasms she’s ever had!

Hisia nane hatari katika mapenzi

Hisia nane hatari katika mapenzi

Miongoni mwa vitu vinavyochangia kuharibu uhusiano wa kimapenzi ni hisia. Wapenzi wengi wameachana kwa sababu si kwamba walithibitisha ubaya wa wenzao ila walijijaza wenyewe hisia mbaya na kujikuta wamepoteza thamani ya kupenda. Hebu angalia hisia nane hatari ili uzikimbie mapema kabla hazijakuharibia penzi lako.

1. NASALITIWA
Kuishi katika mapenzi huku ukiwa na fikra kwamba mwenza wako anakusaliti ni jambo baya kwa vile huathiri msukumo wa ndani wa kupenda. Matokeo yake utajikuta ukishindwa kutimiza wajibu wako kama mke/mume kwa sababu tu ya kuendekeza hisia mbaya. Acha kuhisi, tafuta ukweli.

2. TUTAACHANA
Kuna wapenzi ambao wanaishi na mawazo ya “ipo siku tutaachana”. Wanafanya hivyo eti kwa kutafsiri mwenendo usioridhisha wa mapenzi yao. Kusema kweli hili ni jambo baya kwani huondoa ari na kujenga ufa wa mapenzi.
 Huwafanya wapenzi kubakia na wazo moja tu, la kutafuta sehemu mbadala ya kwenda baada ya kuachana. Usiwaze kabisa kuachana hata kama mnagombana na mwenzako kila siku.

3. SIWEZI MAPENZI
Baadhi ya wapenzi huwa na hisia kwamba hawayawezi mapenzi. Hata kama hawajaambiwa chochote kuhusu kutowatosheleza wenza wao  faragha, hukimbilia kujihukumu.

Hujaambiwa kama umecheza chini ya kiwango, hofu ya nini? Usiwaze hivyo, kama una lolote linalokufanya uwe na hofu muulize mwenzio.

4. NINA KASORO
Naamini mitaani wapo watu ambao huamini wana kasoro fulani ndiyo maana hawafikii viwango vya kupendwa kama wanavyohitaji. “Yaani mimi ningekuwa kama fulani ningefurahi sana lakini ufupi wangu ndiyo tatizo.”

Hizi ni hisia mbaya tu, kumbuka kuna wafupi wanapendwa ile mbaya. Jisahihishe na epuka kujishusha hadhi kwenye hisia zako.

5. NITAMUUA
Miongoni mwa hisia mbaya kabisa kwenye mapenzi ni kufikiria kumuua mwenzako kwa sababu yoyote. “Nikimfumania na mwanaume mwingine nitamuua.”

Mtu anayetawaliwa na mawazo ya aina hii anajiweka katika mtego mbaya kisaikolojia wa kuja kutekeleza kile anachojiapiza hata kwa sababu ndogo. Usifikirie hivyo maishani mwako.

6. NIMEKOSEA KUCHAGUA
Usijihukumu makosa kwa sababu umeona mpenzi wako ana tatizo fulani. Fahamu kuwa kasoro ni sehemu ya ubinadamu. Weka mikakati ya kumuongoza mwezio kuliko kuhitimisha kwa mawazo kwamba ulikosea kumchagua. “Ningejua kama yuko hivi nisingemchagua.” Usiwaze hivi!

7. HATUWEZI KUZAA
Kuna wapenzi ambao kwa kuishi miaka mitatu au minne pamoja bila kupata mtoto hufikia kwenye fikra kwamba hawawezi kuzaa. “Mmm, mwaka wa nne umepita bila mtoto, nadhani sisi hatuwezi kuzaa.”

Kwa nini msizae? Hizo ni fikra zako, hamjaambiwa na daktari sasa iweje uwaze hivyo? Jipe moyo kwani kuna watu walizaa baada ya miaka kumi, iweje ninyi wa mwaka mmoja?

8. UNANIDANGANYA
Ipo aina ya watu ambao hata kama wakiambiwa wanapendwa sana, hukimbilia kusema na kuamini kuwa wanadanganywa. “Mmm unanidanganya.” Atasema hivyo licha ya kuona mwanaume anavyojituma kumsotea na kumuonesha kila dalili za mapenzi. Hili ni jambo baya, ukithibitisha kwamba unapendwa usihisi unadanganywa, utapoteza bahati yako.

Zijue tabia hatari katika mapenzi

Zijue tabia  hatari katika mapenzi


Atakuona mzigo kwa kuwa ataamini haumheshimu na ukichunguza inakuwa kweli, kwani ungekuwa unamtii, usingembishia ama kumvimbia kwa kiburi chako.

NYODO
Najaribu kuzipanga pointi katika mtiririko unaofaa,  nikiamini kuwa ndiyo itakuwia rahisi kuelewa.  Aghalabu, mtu mwenye kiburi ndiye huyo huyo mwenye nyodo. Unakuwa bingwa wa mapozi na michetuo mbele ya mwenzi wako, lakini mapenzi hayataki hivyo!

Hakuna kitu kibaya kama kujiona babkubwa katika mapenzi. Saikolojia inafundisha kwamba ukiwa memba katika uhusiano fulani, basi unatakiwa kuishi kulingana na jinsi ulivyo. Tafsiri ya sentensi hiyo ni kuwa unashauriwa kuishi rahisi, kutokana na jinsi alivyo mpenzi wako.

Si busara ukiwa na mwenzi wako, halafu unakuwa unaongelea mambo makubwa ambayo haoti kuyaona sembuse kuyapata. Au unakuwa bingwa wa kubagua chakula, kwa kukiona ni cha gharama nafuu, huku ukiwa kiongozi wa kuomba misosi ya bei mbaya.

Mpenzi wako anajitutumua kukununulia zawadi, badala ya kushukuru, mwenzetu unapokea huku ukibetua midomo kuonesha kwamba siyo za hadhi yako. Picha hiyo, ukimuonesha mara tatu, halafu akiendelea kukupa zawadi, pengine huyo mwenzako atakuwa na matatizo kichwani.

Anapanga vizuri mambo yake, anakuomba mtoke wote, mnafika kiwanja, unaanza kukishusha thamani, halafu unakosa raha kabisa kuwepo eneo husika. Taswira kama hiyo unapomuonesha mwenzako, itamvunja moyo na atajuta kutoka na wewe.

Muhimu hapa ni kuridhika na kile unachopewa, hivyo ndivyo mapenzi yanataka. Anachokupa shukuru kwa kuwa ndicho alichojaliwa, siku akipata zaidi atakupa cha thamani kubwa. Kinyume chake ni kumkera kwa kuwa atakuona una nyodo na haufai kuwa mpenzi wa kudumu.

DHARAU
Hapo juu nimeshaeleza kuwa NYODO inatokana na KIBURI kwa sababu mtu mwenye nyodo na kiburi ni kama shati na fulana au viatu na soksi.

Sura hiyo ndiyo iliyopo katika DHARAU na NYODO. Ni kama shamba na bustani, nikimaanisha kwamba tabia hizi zinatafsiri zenye kukaribiana lakini nazitofautisha katika mada hii ili kila moja ibebe uzito wake.

Dharau ni sumu kubwa katika uhusiano wowote. Ukiwa na sifa hii, unatakiwa kujishtukia kuwa wewe ni vigumu kukubalika mbele ya mtu mwingine yeyote na zaidi ni katika mapenzi, kwani hakuna atakayeweza kukuvumilia.

Kikubwa hapa ni kujua kuwa mara unapokuwa katika uhusiano na mtu fulani, basi yule ni mwenzako. Shirikiana naye katika hali zote. Kama ana upungufu, jukumu lako ni kuubaini mapema na kujitahidi kuurekebisha. Kumzodoa ni alama ya dharau.

Marekebisho yawe ni katika kila unaloona halikupendezi kutoka kwake. Yawezekana mavazi yake yakawa yanakupa kichefuchefu, kwa hiyo unapaswa kulivalia njuga suala hilo ili umuweke mpenzi wako kwenye sura ambayo inakuvutia.

Kumshusha thamani ni dharau na ukimuonesha akaelewa unamdharau, hiyo ni sumu kali katika uhusiano wako. Ni vizuri kutambua kwamba mapenzi ni sanaa inayojengwa kwa hisia, kwa hiyo kudumu au kutodumu kwa penzi lako, kutategemea na unavyocheza na hisia za mwenzako.

Hupendi staili yake ya maisha, hilo ni jukumu lako. Maisha ya nyumbani kwao ni ya shida, elewa hali hiyo ni matokeo na kwamba kupata ni majaliwa. Anaumwa yeye mwenyewe, mzazi au ndugu yake yeyote, ni vizuri kutambua kuwa kabla hujafa hujaumbika.

Ukijua hayo, basi hutamtoa kasoro mwenzako na badala yake utashiriki kumsadia pale unapoweza. Ukifanya kinyume chake ni ishara nyingine ya dharau na akijua unamuona wa bei chee ataona unamnyanyapaa.

UONGO
Tafsiri yake ni tabia ya kutosema ukweli, yaani ujanja mwingi na kudanganya ili kujiweka katika mazingira salama. Pamoja na ukweli kwamba wengi huutumia katika kujipa ushindi wa mezani, lakini hii ni sumu nyingine kali kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Maana nzuri katika tafsiri fupi ni kuwa uongo ni dharau kwa kuwa ungemheshimu, usingemdanganya. Mtu anayemuongopea mpenzi wake, huyo si muoga kwenye uhusiano, hivyo anakuwa amepitwa na nguzo muhimu ya kulifanya penzi lake lidumu kwa miaka mingi.

Ukichunguza kwa makini, asilimia kubwa ya watu waliodumu na wenzi wao ni wale wanaoishi kwa hofu katika uhusiano. Anauheshimu, kwa hiyo anaogopa kuuvunja. Anaweka mikakati ya kujiweka salama mbele ya laazizi wake. Lakini hayo si ndiyo mapenzi?

Aidha, ukichunguza tena kwa makini, utabaini kuwa uongo, maana yake ni kujiona unajua vitu vingi kuliko wengine. Wewe ni fundi wa kugeuza maneno na unaweza kumfanya mtu aamini moja jumlisha moja ni tatu. Mapenzi hayataki hivyo!

ZIJUE SABABU ZINAZOFANYA WANAWAKE WENGI KUKOSA WAUME WA KUWAOWA KWA 100%



Nimefuatilia kwa kina nakujiuliza ni kwanini wasichana wengi kuolewa imekua tabu?
Na hii ni research nimefanya kwa wasichana na vijana wa kiume ili nipate majibu sahihi.
Nimekuja kugundua matatizo ya wasichana ni mengi ndio chanzo cha wao kukosa waume.

1. 
Umalaya – 
Ule wakati binti anaanza kuchanua badala ya kujitunza nakujiheshimu yeye ndio anatumia nafasi hiyo kuuchezea mwili wake kila mwanaume anayemtongoza anamkubali mwisho anajikuta ana maboyfriend zaidi ya mmoja, hapo anaanza kuangalia sasa maslahi na sio upendo wa dhati anajikuta kaingia kwenye wrong choice basi ataendelea kusakanyia mwengine na mwengine na mwengine ili akutane na right choice hapo kuna mabuzi kibao kuna waume za watu na vijana matapeli wote anabambana nao mwisho anashtukia yuko above 30 ana anza kulia ohh na mkosi sijui nuksi nk.

2. 
Maringo – Nipale wakati binti anapokua nakujishtukia kuwa yeye ni mrembo wa ukweli, basi hapoa ataanza kujisikia kuwa yeye ni yeye kudharau wengine na kujiona babkubwa na kuwa too much selective, inapotoke kijana kampenda atakapomfata huwa anamuangalia nakumuona hana hadhi ya kuwa na yeye, itaendelea hivyoooooo mwisho atakuja kukutana na kijana mtanashati wa ukweli hapo ndio atajiaminia huyo ndio mwenye hadhi yake kumbe gubegube, mpaka aje kugundua kashaumizwa anaanza sasa kuumizwa kila mara hapo ataamua sasa kujishusha na kusarandia vijana wa kawaida, kila atakae date nae anakuta ni mchumba wa mtu au mume wa mtu au bf wa mtu, hapo ndio tayari keshakua majeruhi wa mapenzi basi itabidi aishie kuchuna mabuzi fumba na kufumbua yuko above 30 anaanza kulia nina mkosi ohh nuksi nk.

3. 
Roho ya kukataliwa – samahani maana hii ipo spiritual zaidi mtaniwia radhi, kiukweli kuna watu wana roho ya kukataliwa utakuta ni msichana mrembo tabia nzuri na sifa zote nzuri anazo shida ni akwamba wachumba wanamkataa dk za mwisho, ikumbukwe huyu sio muhuni anajiheshimu na anajitambua vizuri, atapata mchumba ghafla mchumba atamtema nakwenda kwa msichana mwingine inaweza kuwa kashamvisha hata pete ya uchumba wameshatambulishana hata kwa wazazi haijalishi mwanaume atamtema tuu, hawa kwakweli ndio wanaongoza kwakujiita wana mkosi nuksi nk.

4. 
Majini Mahaba – Baadhi ya wasichana wana majini mahaba kwahiyo kuolewa kwao imeshakua ni tabu anaweza apate mchumba afe au mwanaume abadilike tabia nakumchukia au mwanaume aanze kuwa Malaya na kushindwa kumvumilia hatimaye wanaachana mauzauza yanakuwa kibao kwenye mapenzi yake mwisho anajishtukia yuko above 30 anajiona ana mkosi na nuksi.

5. 
Marafiki wabaya – Msichana anaweza kuwa haolewi kumbe marafiki alionao sio wema kwake, ukipata mchumba tayari umeshaenda kumweleza shosti wako au mashosti zako, bila wewe kujua wanampeperusha, watakuzunguka ,watatembea nae, watamtega, watakuongelea vibaya, watakuloga, watamloga, watakuharibia mpaka utaachwa kila mara usipokua mjanja ukashtuka ndio hivyo uanajikuta uko abave 30 unaanza kulia ohh nina mkosi sijui nuksi nk.
Mpaka hapo nina amini kwa wewe msichana ambaye huolewi kuna fungu lako moja kati ya hayo hapo juu, sasa chakufanya jitambue na ujipange upya kama ushapita above 30 usihofu sana hata miaka 60 wanaolewa bado.

KANUNI 6 ZA KUACHANA NA MPENZI WAKO AMBAYE UNAHISI UMEMCHOKA KWA SABABU MOJA AU NYINGINE





Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake/wanaume wengi husumbuka sana kutafuta njia za kukatisha uhusiano wao wa kimapenzi na wapenzi wao baada ya kugundua kuwa hawako kwenye chaguo sahihi kwa sababu moja au nyingine....

Wengi wao hujikuta wanashindwa kufikia lengo hilo kwa sababu ya kutoeleweka na wapenzi wao. Dondoo za mahojiano zilizofanyika kwa  baadhi ya wanawake zinaonesha kuwa, asilimia 48 kati yao wanaishi kwenye mapenzi ya lazima au yaliyowachosha.

Utakuta  wanawake wengi wanasema maneno kama haya hapa chini.....
“Sina la kufanya, nimemwambia mara nyingi tuachane lakini hasikii, ananitisha kuwa nikimwacha atanikomesha. Anachofikiri nimepata mwanaume mwingine lakini ukweli tabia zake zimenichosha,” 

Kisaikolojia mapenzi ya kulazimisha nafsi yamekuwa na madhara makubwa kiafya na kiufahamu. Wengi kati ya watu waliotokea kuua, kujiua au kujeruhi wanatoka katika kundi la maisha ya mapenzi ya lazima. 
 
Chukua hatua zifuatazo kama umeamua kuachana na mpenzi wako uliyemchoka.

1. KUWA MKWELI
Wanawake/wanaume wengi wamekuwa wakificha sababu za kutaka kuachana na wapenzi wao wakihofia kuwaumiza au kujiumbua. Ukweli unamtaka mwanamke amwambie wazi mwanaume kwa nini anataka kukatisha uhusiano.  Mweleze ajue kasoro zake na uweke wazi hali ya kuchoka kumvumilia kuwa nae.

2. MUDA SAHIHI
Usikurupuke kuachana na mpenzi wako. Lazima uhakikishe kuwa uko kwenye wakati sahihi ambao hautakufanya ujutie uamuzi wako. Ikiwa unajua kuna gari umemuazima, pesa, mali na vitu vingine vya thamani tafuta njia za kuzuia visipotee. Ushauri wa kitaalamu kuhusu mali ni muhimu ukauzingatia kabla ya kuamua.

3. SHIRIKISHA WATU
Ukiwa umehakiki mawazo yako usimwambie mhusika mkiwa chumbani. Weka wazi azimio lako mbele ya rafiki na ndugu. Faida za kufanya hivi ni kuweka ushahidi na wakati huo huo kumharibu kisaikolojia asiweze kurudi kwako kwani wanaume wanatajwa kuwa na aibu ya kuonekana wanang’ang’aniza penzi.

4. FANYA MWENYEWE
Suala la kuachana ni binafsi, hivyo unapofikia hatua hiyo lazima uwe ni wewe uliyeamua kufanya hivyo na isiwe shinikizo kutoka kwa watu wengine kwa masilahi yao. Kama "ulivyopenda" ndivyo "uache".

5. UMAANISHE 
Kuna wanawake/wanaume ambao hutangaza kuwaacha wapenzi wao, lakini hawamaanishi sawa na uamuzi wao. Utakuta pamoja na hatua hiyo huendelea kuwatumia meseji za mapenzi, kujichekesha chekesha, kujipitisha pitisha na wakati mwingine hata kujipeleka nyumbani. Kufanya hivyo hakuwezi kuleta matokeo sahihi.

6. USIRUDI NYUMA
Uamuzi wa kuachana lazima uwe umeshiba sababu ili isijitokeze hali ya kurudi nyuma na kujuta. Mwanaume ukishamtangazia kumwacha, halafu akaona unajirudisha mwenyewe utamfanya aamini kuwa huna pa kwenda na hivyo kama alikuwa anakutesa na kukudharau ataongeza zaidi. Utakuwa uni kama unasukuma ukuta wakati upo ndani ya nyumba.

Hizi ni baadhi ya kanuni kati ya nyingi ambazo unaweza kuzichukua ili kuachana vizuri na mpenzi wako ambaye unahisi umemchoka kwa sababu moja au nyingine......

HII NI LAANA....!!! PICHA 100 ZA UCHI ZA MSANII MANAIKI SANGA AKIFANYA UCHAFU NA MADEMU ZANASW

blog yenu  imefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga juu ya gonjwa hatari la UKIMWI linalotishia dunia nzima.
Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za  picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi  la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha  na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti  kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo.
Aidha katika hali nyingine msanii huyo aliyetamba sana kwenye filamu  ya Love Position, Tikisa na nyinginezo amekuwa akitumia gari yake  kufanyia ufusika  hadharani....
" Kwa kweli hali ni mbaya ile gari yake ameigeuza kama  gesti ambapo ukiiona gari hiyo imepaki sehemu kwa muda uje kuna  shughuri inafanyika ndani hivyo tunaliomba jeshi la polisi Kanda ya  Dar es  Salaam kulifanyia kazi suala hilo kisha kumtia mikononi huenda  wasichana wa watu wakasalimika jamani" Alisema muhudumu wa baa ya Coco  Beach ambako msanii huyo huwa anapenda kukaa.
Gari ya msanii huyo imekuwa maarufu sana huku nyuma ya gari hiyo  kukiwa na maneno haya " Nina Fanya Mambo" Money is Paper na inadaiwa  msanii huyo ni mtoto wa kigogo mmoja maarufu ambae anamiki hotel  kadhaa hapa mjini ikiwemo Itumbi iliyopo Magomeni.
Picha hizi zinawaonesha mamisi mbalimbali Kama Irine Kanka ambae  alikuwa Miss Temeke namba 2 mwaka juzi. Miss Utalii Fathiya Alfan"  Mrembo wa Facebook" Dida ambae ni mwanamuziki huko Zanziba. na  wengineo.
Hata hivyo watu wamemuonya msanii nyota wa kike nchini
Wastara kutompa nafasi msanii huyo kwani akifanya hivyo atakuja kujuta  kwani imeonekana siku za hivi karibuni amekuwa na ukaribu sana kiasi  cha kwenda nyumbani kupata chakula.

BAADHI YA PICHA NDIZO HIZI HAPA TAFADHALI NI KWA WAKUBWA TU

 




TOA MAONI YAKO HAPA CHINI