Latest Updates

USIBWETEKE!!! Hizi pata Mbinu Za Kummiliki Mwanaume Wako Bila Kwenda Kwa Waganga !!!!! Kwa raha zako

.

   Mpe mumeo anachohitaji : Wanawake wengi wanashindwa kujua wao wanatofautiana na wanaume kwa hisia na hata mawazo ya mapenzi. Wanaume wana mambo wanayoyapenda kutoka kwa wake zao hasa katika masuala ya mapenzi. Kwanza wanawake


wajue wanaume wengi wana hisia za haraka za kufanya mapenzi kuliko wanawake  Mwanaume alivyoumbwa ni kwamba akiona tu mfano mwanamke umevaa kanga moja au umevaa night dress hiyo inatosha kusisimua. Wapo wanawake wanaowasisimua waume zao bila wao kujua. Mfano umevaa tu kanga moja au night dress ndani huna kitu. Kwako ni jambo la kawaida lakini kwa mwanaume sio la kawaida kwa kukuona hivyo tayari unakuwa umeamsha hisia zake. Ukimwona anakuja kutaka haki yake usidhani anakusumbua. 
Ujue tayari mwenzako alishafiria mbali zamani we huna habar Ni vyema ukawa mwangalifu kujua hisia za mwanaume huyo mumeo kama inawezekana mpe anachohitaji kwani usipofanya hivyo unamwathiri kisaikolojia na anaweza kufikiria nje. Wanawake wengi wa nje waliowaweka waume zenu kiganjani hiyo ndio mbinu wanayotumia. Akiwa na ahadi na mumeo atamkuta kanga moja au amevaa night dress na kila anachohiji atapewa haraka tena kwa madoido. Kwanini akitaka hayo hayo kwa mkewe hapewi je ana kosa gani anapofikiria nje?

0 Response to "USIBWETEKE!!! Hizi pata Mbinu Za Kummiliki Mwanaume Wako Bila Kwenda Kwa Waganga !!!!! Kwa raha zako"

Post a Comment