WANAUME HUPENDA KUOA MWANAMKE WA AINA HIIHabari za wiki hii mpenzi msomaji. Mimi namshukuru Mungu kwa kuweza kunikutanisha na nyinyi kupitia safu hii ambayo pamoja na mambo mengine nazungumzia juu ya mada mbalimbali ambazo zinagusa maisha yetu ya kila siku.Wiki hii nitazungumazia juu ya aina ya wanawake ambao wanaume wengi hupendelea kuoa. Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza...
Home » Archive for March 2013
Fedha, uzuri si kinga ya mapenzi, kuna kitu cha ziada

WAKATI akili yangu ikianza kupata ufahamu, nilikuwa natatizika na kuwaza kitu gani hasa katika mapenzi kinaweza kumfanya mtu atulie ndani ya penzi lake. Niliamini kuwa na fedha ndiyo dawa ya mtu kumtuliza mpenzi wake au kwa mwanamke kuwa mzuri na mwenye sifa zote, ndiyo dawa ya kumfanya mpenzi wako atulie.Baada ya kukua na kuingia katika dunia ya ufahamu wenye mitihani mingi ya mapenzi, nimegundua kuna utofauti mkubwa katika vitu nilivyoviwaza.Wakati nakua, nilikutana na matukio ambayo niliona...
Posted by Unknown
at 15:56,
Add Comment
Read more
MAKUNDI YA WANAWAKE NA MITAZAMO YAO KWA WANAUME

Ogopa sana mwanamke akikuona wewe ni tatizo, hilo huwa linajengeka na kuishi kwa muda mrefu ndani ya kichwa chake.Mara chache wanawake ambao huitwa akina mama wa nyumbani, kwa maana ofisi zao ni majukumu ya ndani ya familia peke yake, hujitutumua katika eneo la faragha lakini nao siyo wote. Inapotokea akazaa, ndiyo hushindwa kabisa kuonesha hata yale makeke kiduchu ambayo awali aliyaonesha. Ukiweka pembeni suala la faragha, wanawake wa kundi...
Posted by Unknown
at 14:30,
Add Comment
Read more
SABABU 7 KWANINI HUTAKIWI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA JAPO NAJUA UNA MIHAMU GUNIA ZIMA NA UNAHISI HUWEZI KUACHA UTAMU HUO

Najua hii topic ni msala mtupu! Hilo nalitambua lakini inabidi tu hata hili lisemwe,usiponielewa leo utanielewa tu siku za usoni lakini usiseme sikukwambiaMimi na wewe wote ni wahanga wa Pre-mature Sex...Kwa wale mliooa(nna uhakika wengi wenu kama sio wote) Mligonga kitu kabla ya muda,au sio?Sasa mzigo ndo huu hapa...Kuna sababu 7 kwanini tunashauriwa tusifanye Mapenzi kabla ya ndoa....Vitabu vya Dini vimeandika hili na Kukataza lakini amri inavunjwa kama kawa utadhani Kitabu...
Posted by Unknown
at 22:43,
Add Comment
Read more
Mapenzi ni fursa, iheshimu kwa maana haiji mara mbili

Na Luqman MalotoNikuombe msomaji wangu kwamba unaposoma makala haya, soma kwa mtindo wa katikati ya mstari (between the line). Kuna somo kubwa mno kwenye mada hii kwa sababu wengi wapo kwenye mateso makubwa ya kimapenzi kutokana na makosa yao wenyewe.Ukisoma ujasiriamali, utaelekezwa kwamba mafanikio yako yatatokana pia na namna ulivyo na nidhamu katika fursa unazopata. Inawezekana ukawa na bahati kwenye maisha lakini utabaki kuwa si lolote endapo hutatumia nafasi zako vizuri.Kama...
Posted by Unknown
at 22:34,
Add Comment
Read more
Raha za mwenzi wako zipo kwenye himaya yako wewe

Wawili wapendanao wakiwa katika huba zito.Na Kambi MbwanaMAPENZI ni jambo ambalo linaleta hisia mbili tofauti. Mosi; mapenzi yanaweza kukufanya uishi kwa raha kama mfalme. Pili, mapenzi hayo yakibadilika hukufanya uwe kama chizi.Jambo hilo zuri linalofananishwa na sukari kwa yaliyowakalia vizuri, hubadilika na kuwafanya baadhi yao waone ugumu wa kuendelea kuishi, maana wanaowapenda wanawasumbua kwa kiasi kikubwa.Ni kutokana na hilo, jamii inashauriwa kuwa makini katika suala hilo. Wasijaribu...
Posted by Unknown
at 06:37,
Add Comment
Read more
Subscribe to:
Posts (Atom)