Waswahili wanasema Ukstaajabu ya Musa utaona ya FIlauni!ni kwelii ndugu zangu!yametokea na muda huu ninaoandika ndivyo ilivyo!!Hali ilikuwa ivi mdada cheupe dawa toka kanda ya juu,alinogewa na penzi la baba mwenye familia yake huko pande za MBAGALA KIASI CHA KUMFANYA Baba huyo kuisahauu kabisa familia yake ya mke na watoto wawili nae kwa kujiona mjanjaa sana akamdhibiti na maisha yakaendelea,huku nyuma mama wa watu akiwa ameachwa na watoto wawili na mimba juu siku ilipofika ya kujifungua hakupata...
Home » Archive for July 2013
ALIYEIBA MUME WA MTU MBAGALA NAYE AIBIWA MUME HUYO HUYO NA AJUZA

Posted by Unknown
at 05:13,
Add Comment
Read more
Subscribe to:
Posts (Atom)