HIVI kwa nini mapenzi yanatuweka katika wakati mgumu kiasi hiki? Watu wanalia kila siku sababu ikiwa ni kupenda pasipo na penzi. Uvumilivu unakuwepo mtu akiamini huenda mambo yatabadilika lakini matokeo yake hali inazidi kuwa mbaya.Hapo ndipo utamkuta mtu akiwa njia panda. Anampenda mtu lakini hapati kile alichotarajia. Amemzimikia mtu weee lakini anashangaa mawasiliano yanakatika ghafla, akiuliza anaambulia jibu la ‘niko bize, nitakutafuta’.Naomba leo nizungumzie hili la mawasiliano finyu kwa...
Home » Archive for June 2013
MAWASILIANO FINYU NI ISHARA KUWA HUPENDWI, USING’ANG’ANIE!

Posted by Unknown
at 22:55,
Add Comment
Read more
Subscribe to:
Posts (Atom)